Jumanne, 2 Januari 2018

Ingawa kuna changamoto nyingi  zinazoikabili  lugha ya kiswahili , kuna  mapendekezo  yakukifanya kikue  na kienee , miongoni mwa  njia hizo ni , serikali itilie mkazo matumizi ya kiswahili katika serikali na vyuo ya elimu ya juu, watu waache kudharau lugha ya kiswahili, kutunga  vitabu vingi vya sarufi na lugha ya kiswahili kwa ujumla, serikali itenge fedha za kuwalipa wataalam, kuendesha semina , makongamano, na kuchapisha vitabu pamoja na makala mbalimbali.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni