Jumanne, 2 Januari 2018


hHata  hivyo  kiswahili kinakabiliwa  na changamoto nyingi  kamavile , sera ya  lugha kulegalega ,uhaba wa vitabu,  kasumba  na, uhaba wa fedha za kukugharamia warsha mbalimbali.Changamoto  nndizo  zinanazokifanya kiswahili  kushindwa kuenea maeneo ya mbali zaidi  yakiwemo ya vijijini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni