Alhamisi, 28 Desemba 2017
Kiswahili duniani kimepata watumiaji wengi kutokana na urahisi wake katika mazungumzo.Lugha hii inatumika katika vyombo vya habari vya kimataifa mfano BBC Swahili na Deutsche welle pia hutumika katika mikutano ya wakuu wa nchi za Afrika [AU].Pia Kiswahili hutumika katika vyuo vikuu mbali mbali duniani mfano Marekani.
Jumapili, 24 Desemba 2017
KISWAHILI
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)